Добавить
Уведомления

Askofu Mkuu Nyaisonga na wimbo wa Zamani

JIMBO Kuu la Mbeya limeadhimisha ibada ya Misa Takatifu ya kubariki Mafuta Matakatifu na kuweka wakfu mafuta hayo ikiwemo na mapadre kurudia viapo vyao vya daraja Takatifu la Upadre. Katika homilia yake Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mbeya,mhashamu Gervas Nyaisonga ameanza kwa kuwaalika Waamini kuimba wimbo wa Zamani. #Askofu #Nyaisonga #Mbeya #Catholicchurch

Иконка канала Hot Celeb Headlines
10 подписчиков
12+
11 просмотров
Год назад
16 июля 2024 г.
12+
11 просмотров
Год назад
16 июля 2024 г.

JIMBO Kuu la Mbeya limeadhimisha ibada ya Misa Takatifu ya kubariki Mafuta Matakatifu na kuweka wakfu mafuta hayo ikiwemo na mapadre kurudia viapo vyao vya daraja Takatifu la Upadre. Katika homilia yake Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mbeya,mhashamu Gervas Nyaisonga ameanza kwa kuwaalika Waamini kuimba wimbo wa Zamani. #Askofu #Nyaisonga #Mbeya #Catholicchurch

, чтобы оставлять комментарии